Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, December 17, 2013

DIAMOND AZUA BALAA MTANDAONI BAADA YA KUWEKA PICHA AKIWA AMEVALIA MAVAZI YA CHRISTMAS...SOMA WALICHOMWAMBIA MASHABIKI WAKE...!!

Wakati ambapo zimebaki siku chache tu hadi tusherehekee sikukuu ya Christmas, mastaa wengi duniani wamekuwa wakishare kadi zao spesho za Christmas zenye picha zao pia. Kwa Nigeria tayari Iyanya amefanya hivyo.



Lakini damu ya kunguni ya Diamond Platnumz yenye harufu kali ipitapo jirani na pua za ‘haters’ wengi wa Kibongo, imemponza baada ya kuweka picha ya kadi ya Christmas kwenye ukurasa wake wa Facebook. Haijulikani lakini kama ni kadi ama ni teaser ya kampeni yake kama balozi wa Cocacola. Haikuchukua muda, baadhi ya mashabiki wake wakaanza kuicheza kadi ya ‘udini’.

ZIfuatazo ni baadhi ya Comments za mashabiki hao...




Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com