Moja ya mambo yanayojadiliwa sana na vyombo vya habari kwa sasa, ni suala la kina dada wengi wa BONGO kupenda kuvaa nguo fupi sana wanapokuwa kwenye mishemishe za kutafuta hela... je wewe kama mdau unazungumziaje swala kama hili la wakna dada kuvaa nguo fui hasa pale wazazi wanapokuwa na wanao kwenye mahangaiko na kukutana na hii hali .?je watu kama hawa wanatakiwa kufanyiwa nn? Tupe maoni yako hapo chini kama mdau wetu wa NOUMASANA.BLOGSOT.COM.





