WWW.KENNED1.WEN.RU
Ilikuwa ni siku ya jumannemida ya saa kumi na mbili jioniMzee Ndesanjo
alikuwaakiendesha gari aina yaEskudo. Alifika nyumbani naharaka alishuka
ndani ya garikitendo cha kuingia ndani tualianza kuita kwa sauti
"MamaJoyce Mama Joyce" hukochumbani Mama Joyce alimsikiana kuitika
"Abeeee Mumewangu,vipi mbona mbiyombiyo hivyo "? Alihoji MamaJocye huku
akiwaanamuangalia mume wake kwaumakini. Mzee Ndesanjo ambaye nimume wa
Mama Joyce,alionekana kuwa na wasiwasimwingi huku akimsisitiza mkewake
ajiandae haraka "Hakunamuda wa kupoteza, "Mimindani siingii nenda
kajiandaetunasafari ya kwendaMorogoro, kuna matatizoyamejitokeza. Rafiki
yanguMzee Simba ambaye tunafanyakazi ofisi moja amefiwa namke wake wake
inabidi tuwahikwenda msibani”Mama Joyce alinyamaza kimyakidogo kana
kwamba kuna kituanatafakari kwani ile habariilimshtua "Mmmh jamani ni
ninitena kilimfika kwani alikuwaanaumwa! masikini" Aliongeakwa
masikitiko "Alikuwaanaumwa na ameugua kwamuda mfupi sana,wewe
nendakajiandae tuondoke". MamaJoyce akamjibu "Lakini mumewangu watoto
tutawaacha nanani"? Aliuliza Mama Joyce.Wakati huo Jocye na mdogowake
aliyeitwa Jameswalikuwa wameenda shule ,Joyce alikuwa darasa la tano
naJames akiwa darasa la kwanza.Na pale walipokuwa wakiishiilikuwa ni
nyumba ya kupangaMaeneo ya Kimara Stop Overjijini Dar es salaam. Baba
Joycealimgeukia tena mke wake"Hawa watoto tutamkabidhijirani yetu Mzee
Ngonyani namkewe, kwani hatuendi kukaazaidi ya siku mbili wewejiandae
tuondoke wakirudikutoka shule watakutamaagizo kutoka kwa mke
waNgonyani".Baba Joyce aliongeakwa msisitizo.Kwa haraka Mama
Joyceakaenda kwenye chumba chaMke wa Ngonyani nakumwachia maagizo
yakuwaangalia watoto wake kwamuda wa siku mbili. Baada yahapo aliingia
chumbani nakujiandaa tayari kwa safari,ambapo safari ilianza taratibuna
baadaye Baba Joycealionekana kuendesha gari kwamwendo wa kasi “Mumewangu
mbona unaendeshakwa kasi hivyo jamani punguzamwendo kidogo” Aliongeakwa
kuonyesha hali ya uoga. Baba Joyce alicheka kidogo nakusema “Acha
kuogopa Mkewangu mbona naendeshakatika mwendo wa kawaidasana”. Safari
iliendelea wakiwanjiani maeneo ya Kidatu,ghafla gari lilipata pancha
tairiya mbele na kupinduka.Ilikuwa ni ajali mbaya sanakwani Baba Joyce
alifarikipalepale na Mama Jocyealikuwa ameumia sana sehemuza kichwani
hivyo wasamariawema walimchukua nakumkimbiza hospitalini.Baada ya
wasamariakumkimbiza hospitalini MamaJoyce ambaye kwa wakati huoalikuwa
hajitambui, AskariPolisi walifika eneo la tukio nakuuchukua mwili
wamarehemu wa Baba Joyce nakuupeleka chumba cha maitihospitali ya
Morogoro. Garililikuwa limeharibika sanakutokana na ajali
ilivyokuwambaya hivyo ulifanykautaratibu wa kulisogeza hadikituo cha
polisi, wakiwahospitalini Mama Joyce alikuwahajitambui kabisa.Polisi
waliamua kufanyautaratibu wa kufahamu nduguambao wangeweza kuwa
nayekaribu kwa wakati huo, mmojawa wale Askari Polisialimwambia mwenzake
"Sasatutafanyaje kuwapata nduguzao kwani huyu mamahajitambui na mume
wakeamekwisha fariki inabidituwatafute ili waendelee nataratibu
nyingine". Mwenzakeambaye alikuwa naye akamjibuna kusema "Inabidi
tuangalienamba zilizopo katika simu zaoili tuweze kuwasiliana nandugu
zao".........nini kitaendelea usikosesura ya .....2........ NI SIMULIZI
YAKUSISIMUA AMBAYO KITABUCHAKE KIPO JIKONI. Niliwahikuiweka kidogo
zamani sanalakini hii ya sasa imekamilika namarekebisho yamefanyika
kwaumakini. Endelea kupatauhondo.